b..

B1

Wynem

animation

Tuesday, March 8, 2011

WATU WAFURIKA KWA BABU LOLIONDO KUPATA DAWA KWA Tsh. 500/=



Hii ni sehemu ya foleni ya magari inayokadiliwa kuwa na urefu wa Kilomita kumi, ikielekea Kijiji cha Samange Kata ya Digodigo Wilaya ya Ngorongoro, kwa ajili ya kupatiwa dawa ya jero (500) inayodaiwa kutibu magonjwa matano sugu likiwamo la Ukimwi pamoja 
Mamia ya magari yanaidi kuja loliondo
Hapa ni baadhi ya wananchi waliofanikiwa kufika wakiwa katika foleni kwa ajili ya kusubiri kunywa dawa hiyo na kumuona huyo Babu, ambaye sasa amegeuka kuwa moja ya kivutio.

No comments:

Post a Comment