b..

B1

Wynem

animation

Sunday, March 27, 2011

MAMBO YA KILI MUSIC AWARD HAYA!



Dakika moja ya kusimama kuwaombea marehemu wa Five Star Moden Taarab.
Msanii C-Pwaa akikabidhiwa tuzo ya video bora ya muziki wa mwaka uitwao Action pia aliibuka na tuzo nyingine ya wimbo bora wa Ragga/dancehall uitwao Action
Wimbo bora wa asili Tanzania Shangazi ulienda kwa msanii wa vichekesho Mpoki
Wimbo bora wa RnB Nikikupata ulienda kwa msanii Ben Pol
Kushoto ni mtayarishaji wa muziki kutoka studio ya Combinations Sound aka Combinenga Man Water akipokea tuzo ya mwimbaji bora wa kiume kwa niaba ya 20% kutoka kwa mkurugenzi wa Prime Time Promotions Ltd Juhyana Kusaga.
TUZO ALIZOCHUKUWA 20% NI
1.       Tuzo ya wimbo bora wa Afro Pop – Tamaa Mbaya
2.       Tuzo ya mtunzi bora wa nyimbo
3.       Tuzo ya mwimbaji bora wa kiume
4.       Tuzo ya wimbo bora wa mwaka
5.       Tuzo ya msanii bora wa muziki wa kiume

Wimbo bora wa Hip Hop Karibu Tena ulienda kwa msanii Joh Makini
Mwimbaji bora wa kike tuzo ilienda kwa Lady JD

Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya NMB,Iman Kajura pamoja na Balozi wa Redd's 2010,Consolata wakikabidhi tuzo ya Msanii Bora wa Kike iliyokwenda moja kwa moja kwa Lady Jay Dee na kupokelewa na mdau aliejitokeza kumuwakilisha kutokana na kutohudhuria kwa msanii huyo.
Mtayarishaji bora wa nyimbo Lamar
Wimbo Bora wa Kushirikisha/Kushirikishwa tuzo ilienda kwa JCB na Jay Moe
Mwenyekiti wa Tanzania mitindo house, Khadija Mwanamboka akimkabidhi msanii wa kizazi kipya Linah tuzo ya msanii bora wa kike, pia Linah alichukua tuzo ya msanii mpya anayechipukia
Wimbo Bora wa Reggae, What u Feel Inside - Hardmad
Kushoto ni msanii Bonta, JayMoe, Ksingo, Nikki wa Pili na Ruben

No comments:

Post a Comment