b..

B1

Wynem

animation

Thursday, March 31, 2011

VODACOM FOUNDATION YAKABIDHI MADARASA MAWILI MKOANI TABORA


Mkuu wa wilaya ya Urambo, Anna Magowa akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa madarasa mawili yaliyojengwa kwa ajili ya shule ya sekondari ya Kaliua iliyopo Wilaya ya urambo Mkoani Tabora, anaeshuhudia ni Meneja wa Vodacom Foundation Yessaya Mwakifulefule, Madarasa hayo yalijengwa kwa thamani ya shilingi milioni 30.
Meneja wa mfuko wa kusaidia jamii wa Vodacom (Vodacom Foundation) Yessaya Mwakifulefule akiwasaidia kufanya usafi baadhi ya wanafunzi wa shule ya secondary ya Kaliua iliyopo Wilaya ya urambo Mkoani Tabora mara baada ya kufika shuleni hapo kwa lengo la kukabidhi madarasa mawili yaliyojengwa na mfuko huo kwa thamani ya shilingi Milioni 30.
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya secondary ya Kaliua iliyopo Wilaya ya urambo Mkoani Tabora wakiwa wamekaa darasani mara baada ya Meneja wa Vodacom Foundation kuwakabidhi rasmi madarasa hayo yaliyojengwa na kampuni hiyo kwa thamni ya shilingi milioni 30.

No comments:

Post a Comment