b..

B1

Wynem

animation

Tuesday, March 29, 2011

BABU KAJU AACHIA NGOMA ALIYOFANYA NA CARLOS SANTANA

Alex Kajumulo "Babu Kaju"
Carlos Santana
Akiongea kwa njia ya simu kutokea nchini marekani Babu Kaju aliimbia blog ya mtoto wa kitaa kuwa sasa ameachia ngoma yake inayoitwa LIKE ME aliyo fanya katika studio zake mwenyewe (BABU KAJU RECORDS)  na kupigiwa gitaa na mtu mzima Carlos Santana. pia Babu kaju alisea wimbo huun ni maa lum kwa wale wanaowaonea aibu au kuwaogopa kuwatongoza wasichana pale wanapokutana nao kwa mara ya kwanza Hasa kwenye kumbi za starehe.
Babu Kaju aliosema hivi..... "WIMBO HUU NIMEUTENGENEZA NA KUPIGWA GITAA NA CARLOS SANTANA, PIA  NIMEITUNGA KWA SABABU YA WATU WANAO KWENDA KWENYE DISCO WANAMUONA MTU WANAMPENDA LAKINI WANASHINDWA KUONGEA NAYE."
CARLOS SANTANA ni mpiga gitaa maarufu sana duniania anaetokea pande za MEXICO. pia Babu Kaju alimalizia kwa kusema hiyo ngoima imeshaanza kupata air pla ya kutosha katika redio za nchini mexcico na jamaica na baadhi ya redio nchini marekani.

Sikiliza wimbo huu hapo pembeni kwenye playlist za mtoto wa kitaa.

No comments:

Post a Comment