b..

B1

Wynem

animation

Tuesday, March 29, 2011

LEO NI SIKU YA KUMKMBUKA MMOJA WA WAASISI WA HIPHOP NCHINI (FATHER NELLY)


Ni miaka mitano sasa toka Father Nelly alipotutoka duniani, Father Nelly ni mmoja kati nguzo iliyokuwa ngumu kabisa katika kundi laXplastaz na hip hop kwa ujumla, Na mpaka leo ataendelea kukumbukwa kwa mchango wake mkubwa katika gemu zima la hip hop.
NELSON CHRIZOSTOM BUCHARD aka Father Nelly, enzi ya uhai wake
 Hapa ndipo mwili wa braza Nelly ulipolazwa, 
 NELSON CHRIZOSTOM BUCHARD
ALIZALIWA: 18-02-1976
AKAFARIKI: 29-03-2006
"Heri yule afaye katika upatanishi maana atauona ufalme wa mbingu"
R.I.P 
Hili ndilo kundi ambalo marehemu Father Nellyalikuwa nalo kwa mda wote (Xplastaz)

No comments:

Post a Comment