b..

B1

Wynem

animation

Sunday, March 27, 2011

WANAHARAKATI WA HIP HOP (KIKOSI CHA MIZINGA) KUKINUKISHA MAISHA CLUB LEO.


Siku ya Jumapili ya leo (tarehe 27_) ndani ya NEW Maisha Club Kikosi cha Mizinga kikiongozwa na Kala Pina watazindua album yao inayoitwa MAISHA YANGU NYIMBO TOSHA,
Perfomance ya kutosha kabisa itasababishwa na wanahiphop kibao kutoka kila kona ya Africa mashariki. wanahiphop watakokinukisha ni pamoja na Back T kutoka RwandaKimya kutoka KenyaAY, FA, Madee, Godzilla, B.D.P, BoB Click, na wengine kibao
Sio Pakukosa kama wewe ni mwanaharakati wa ukweli

No comments:

Post a Comment