Baada ya chama cha mapinduzi na chadema kuzindua kampeni zao jijini Dar es salaam sasa na cuf nao wawazindua rasmi
Prof. Lipumba akisalimiana na Mh. Hamad Rashid mmoja wa wanachama na viongozi waandamizi wa CUF
Mwenyekiti wa CUF na mgombea urais wa chama hicho cha wananchi, Prof. Ibrahim Lipumba akisalimia wanachama wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni ya chama hicho katika viwanja vya Kidongo Chekundu jijini Dar
Sehemu ya umati wa wana CUF waliohudhuria mkutanoni hapo
No comments:
Post a Comment