b..

B1

Wynem

animation

Sunday, August 29, 2010

CUF NAO WAZINDUA KAMPENI ZAO JIJI DAR!

Baada ya chama cha mapinduzi na chadema kuzindua kampeni zao jijini Dar es salaam sasa na cuf nao wawazindua rasmi 

Prof. Lipumba akisalimiana na Mh. Hamad Rashid mmoja wa wanachama na viongozi waandamizi wa CUF
 
Mwenyekiti wa CUF na mgombea urais wa chama hicho cha wananchi, Prof. Ibrahim Lipumba akisalimia wanachama wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni ya chama hicho katika viwanja vya Kidongo Chekundu jijini Dar

Sehemu ya umati wa wana CUF waliohudhuria mkutanoni hapo

No comments:

Post a Comment