Hapa Benja alikuwa akisikilizia nyuma ya steji kabla hajapanda jukwaani.
Hapa bana kazi ikaanza akiwa na madansa wake ambao ni kutoka kundi la sanaa za asili la Sanaa sana
Mpango mzima uliendelea mpaka hapo akawa anawauliza wapiga vyombo vipi tuendelee au mmechoka?!
HII NI NYINGINE TENA CHINI ETHIOPIA
Hapa anasema na mashabiki
Hapa mshkaji anakamua kinoma
Chki mchizi alivyokuwa na mzuka
No comments:
Post a Comment