Ninafuraha kubwa xana kuwafahamisha kuwa Tanzania tumepiga hatua katika mambo ya utandawazi. Habari njema zilizopo kwa asasa hizi:- kwamba tovuti maalumu na rasmi ya Mhe. Jakaya M. Kikwete na Dr. M. Gharib Bilal sasa inapatikana kwenye mitandao:
Ukitembelea tovuti hii maalumu ya Mgombea Uraisi na Mgombea Mwenza kwa tiketi ya CCM mwaka 2010 utapata habari mbalimbali kama vile:
Wasifu wa Wagombea – Mhe. Jakaya M. Kikwete na Dr. Mohammed Gharib Bilal.
• Mafanikio katika sekta mbalimbali.
• Sera na Malengo 2010 – 2015.
• Ratiba za kampeni.
• Hotuba maalumu.
• Matoleo ya Habari.
• Video na picha.
• Mitandao ya Facebook,Twitter na Youtube.
Kupitia tovuti hii na mitandao yake utaweza kupata taarifa mbalimbali na kutoa maoni yako.
“ TUKISHIRIKIANA TUTAFIKA MBALI ZAIDI”
No comments:
Post a Comment