Kkuanzia kushoto ni Mwana FA, projuza Hammy B kutoka B-Hits na AY
Wanamuziki Mwana FA na AY watawarusha mashabiki wao wa nchini kenya leo katika tamasaha la KICC jijini Nairobi. nina imani kuwa watu wangu wa pande za nairobi wamefurahia uwepo wa hawa vijana maana kazi zao kila mmoja anazijua.
No comments:
Post a Comment