b..

B1

Wynem

animation

Monday, August 2, 2010

JAM SESSION NI KAMA KAWA KILA J'PILI

Kama kawa jumapili ya wiki hii nilikuwa mitaa ya sinza na nikimpa shavu mwanangu mmoko wa kiitaa kama dawa niliweza kuget mapcha mawili matatu ya ukumbusho pande zile.
kama kawa mtu mzima Charles Benedictor Halawa a.k.a CBH alikuwa kiwakilisha vilivyo na kuandaa na kuendeleza Jam seshen nakama ilivyo kawaida ya jam sesheni inakusanya vijana kutoka sehemu mbalimbali za jiji li dar kwa kukaa na kucheza pamoja.
Hili ni suala la kila jumapili mazeee kwa hiyo kama ulikosa lewiki hii basi tukutane pale jumapili ijayo. ............ Au sio?!.....
Kama vipi cheki na mapicha hapo chini halafu tuooneeeeee!
Mpango mzima wa kucheza shoo kwa pamoja ilikuwa ni kama kawa!
CBH akiwa na Jux
ALLY Sella akiwa na CBH
Hapa ni mtoto wa kitaa akiwa hana habari (yuko bize na simu tu)huku kushoto kwa akiwa ni mtu mzima Ally Sela akiwa anchonga na mrembo.
Mshikaji mmoja akionesha kiatu alichovaa kwa pozi!
Jux akiwa amepozi na Ally Sella
Watu wakijiachia kwenye Dansing floo kama inavyo onekana kwa juu.
Hapa ni CBH akipewa shavu katika kuprezent kipindi cha Jam seshen

Majunki wa kitaa wakifanya vitu vyao.
kama kawaida watu walijiachia
Warembo wakiwa wamejiachia kinoma
CBH akiawa na mtoto wa kitaa
Ally Sela wa televisheni ya C2C akiwa amepozi na mtoto wa kitaa wakisow lav.
Ally Sela akiwa na warembo wa Sinza katika picha ya pamoja
CBH akiwa na mrembo aliekuwa akimsaidia kuendesha kipindi.

No comments:

Post a Comment