b..

B1

Wynem

animation

Friday, August 27, 2010

MCHANGO KWA AJILI YA UJENZI WA MSIKITI

Bismillahir Rahmanir Rrahim

Amesema Allah S.W: Mfano wa wale wanaotoa mali zao katika njia ya Allah ni kama mfano wa punje moja iliyotoa mashuke saba, ikawa katika kila shuke pana punje mia. Na allah humzidishia amtakaye (zaidi kuliko hivi) na Allah ni mwenye wasaa mkubwa (na) mwenye kujua. Suratil Baqarah (2:261)

Uongozi wa masjid munawar Jang'ombe kwa Maharuki - Zanzibar, unawatangazia waislamu wote bara na visiwani kuchangia katika upanuzi wa msikiti kwa kuwasilisha michango yao moja kwa moja msikitini au kupitia benki ya watu wa Zanzibar A/C 0212 0602 8457
Kwa maelezo zaidi unaweza kuwasiliana na uongozi kwa namba 0777 450 140/238 927

Wasalaam.

No comments:

Post a Comment