Katika harakati zangu ndani ya viwaanja vya leaders nilkutana na watu kibao tu ambao nilikuwa natarajia kukutana nao lakini hawa ni baadhi tu ya wanangu wa kitaa ambao tulikutana pande zile.
Hapa ni mtu mzima Raymond Mshana (kushoto) akiwa na Boy Sella . Hawa wana wanatokea pale C2C.
apa ni Mtoto wa kitaa (mwenye kapero) akiwa na mtu mzim Izzo Bussiness
Izzo B. akiwa na Boy Sella
Mwanangu Swalehe (wa mble)kutoka kitaa cha cnza nae alikuwepo
Hili ndio nyomi lilokuwepo pale bana. Wote hawa walikuja kushuhudia Fiesta.
Hapa kijana 76 (saba sita) kiwa na Mtoto wa kitaa ndani ya fiesta.
No comments:
Post a Comment