b..

B1

Wynem

animation

Sunday, May 1, 2011

VODACOM MISS TANZANIA ILIVYOZINDULIWA JIJINI DAR.

Hivi ndivyo nembo ya Vodacom Miss Tanzania 2011 itakavyokuwa,ilizinduliwa rasmi hapo jana katika Hotel ya kimataifa ya Kilimanjaro Kempnsiky jijini Dares Salaam

Mkuu wa udhamini wa Vodacom Tanzania George Rwehumbiza akizungumza wakati wa uzinduzi wa nembo mpya itakayotumika katika shindano la Vodacom Miss Tanzania 2011 na shindano hilo kuzinduliwa rasmi hapo jana katika Hotel ya kimataifa ya Kilimanjaro Kempnsiky wengine ni baadhi ya warembo waliowahi kushiriki katika kinyang’anyiro cha Vodacom miss Tanzania miaka iliyopita.

Mkuu wa udhamini wa Vodacom Tanzania George Rwehumbiza akiwasalimu baadhi ya warembo waliowahi kushiriki katika kinyang’anyiro cha Vodacom miss Tanzania miaka iliyopita ,katika uzinduzi rasmi wa Vodacom Miss Tanzania 2011 uliofanyioka hapop jana katika Hotel ya Kilimanjaro Kempnsiiky.
Baadhi ya vimwana vilivyowahi kushiriki katika shindano la Vodacom miss Tanzania 2010 ambapo Genevieve Emmanuel kushoto ndiye alinyakuwa taji la Vodacom Miss Tanzania 2010 nao walikwepo katika uzinduzi huo.
Baadhi ya kamati ya Vodacom Miss Tanzania pamoja na wadhamini wakuu wa shindano hilo na warembo waliowahi kushiriki katika shindano la Vodacom miss Tanzania wakiwa kwenye picha ya pamoja.
Mkurugenzi wa Lino Internation Agency waandaji wa Miss Tanzania Hashimu Lundenga akiongea na kuwatambulisha baadhi ya warembo waliowahi kushiriki katika shindano la Vodacom Miss Tanzania miaka ya nyuma katika uzinduzi rasmi wa Vodacom Miss Tanzania 2011
Baadhi ya kamati ya Vodacom Miss Tanzania walikuepo katika uzinduzi huo kulia ni Meneja udhamini wa Vodacom Tanzania Rukia Mtingwa akijadiliana jambo na Mkurugenzi wa Lino International Agency Hashimu Lundenga

No comments:

Post a Comment