b..

B1

Wynem

animation

Wednesday, May 11, 2011

LEO NI SIKU YA KUZALIWA MWANADADA TECLA.

Tecla ni mdau wa burudani na msanii wa muziki wa kizazi kipya. kwa sasa Tecla ni muimbaji wa bendi ya M-Band ambayo ipo chini ya mtu mzima DUKETACHEZ pale katika studio za M-Lab mitaa ya kin ondoni biafra.
SULE'S INC. & ENTERTAINMENT na timu nzima ya blog ya mtoto wa kitaa kwa pamoja wanamtakia sikukuu njema ya kuzaliwa a.k.a HAPPY B'DAY

No comments:

Post a Comment