b..

B1

Wynem

animation

Thursday, May 19, 2011

AMA KWELI POMBE SIO CHAI

Mshiriki wa Kinyang’anyiro cha Miss Kiswahili 2009, Rehema Fabian ‘Video Queen’, amekumbwa na aibu ya karne baada ya kufakamia pombe na kulewa tilalila.
Tukio hilo lilijiri katika Hoteli ya Lamada, Ilala, Dar es Salaam usiku wa kuamkia Jumamosi ambapo kulikuwa na shindano la kumsaka Miss Dar City Centre 2011-12.

No comments:

Post a Comment