b..

B1

Wynem

animation

Sunday, May 15, 2011

MISS ARUSHA CITY CENTER APATIKANA


Mwanadada Mary Joel (katikati) amenyakua taji la kuwa Vodacom Miss Arusha City Center 2011 katika ngazi ya kitongoji kanda ya kaskazini. Pembeni yake kulia ni mshindi pili Neema Edward pamoja na Stacey Alfred. Shindano hilo lilifanyika katika ukumbi wa Triple A, Arusha.
Mwanadada Zahra Seleman ambaye ni Vodacom Miss Arusha City Center 2010 akimvalisha taji Mary Joel ambaye amekuwa Vodacom Miss Arusha City Center 2011. Shindano hilo lilifanyika katika ukumbi wa Triple A, Arusha.

No comments:

Post a Comment