b..

B1

Wynem

animation

Thursday, November 4, 2010

MISS TANZANIA 2010 AREJEA KUTOKA CHINA.

Miss Tanzania Genevieve Emanuel mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Mwlimu J.K.Nyerere jana akitokea nchini China.
Warembo kadhaa wakiwapokea wenzao wakati walipowasili jana kwenye uwanja wa ndege wa Mwalimu J.K.Nyerere wakitokea nchini China
Kutoka kushoto ni Mkuu wa Itifaki Kamati ya Miss Tanzania Bw. Albert Makoye, pamoja na Mrembo wa Chuo Kikuu Kikuu Huria Christina Justine, na Miss Shinyanga 2010 Buduri Ibrahim kwa pamoja wakiwapokea Miss Tanzania 2010 Genevieve Emmanuel na mshindi wa pili Glory Mwanga kushoto kwa Genevieve, na Miss Temeke mshindi wa pili Anna Daudi ambao waliwasili jana kwenye uwanja wa ndege wa Mwlimu J.K.Nyerere wakitokea Sanya China katika mashindano ya urembo ya dunia.
Mrembo Anna Daudi na Glory Mwanga walikwenda Sanya China kumpa sapoti Miss Tanzania 2010. pamoja na Mkurugenzi wa Kamati ya Miss Tanzania Bw. Hashimu Lundenga, Katibu Mkuu Bosco Majaliwa, na mama wa Miss Tanzania 2010 Mrs. Mary Emmanuel Mpangala.

No comments:

Post a Comment