b..

B1

Wynem

animation

Tuesday, November 30, 2010

KAMANDA NGURUMO ATOKA ICU!

Mwanamuziki wa siku nyingi Mzee Makasy akimjulia hali mwanamuziki mwenzie Maalimu Muhindini Gurumo (KAMANDA) aliyelazwa hospital ya Taifa Muhimbili,Uncle Gurumo yupo wodi ya Mwaisera namba 1 kwa sasa baada ya kutoka katika chumba cha wagojwa wenye uangalizi maalumu (ICU). Kunradhi kwa picha haionekani vizuri.Picha na mdau Rajab Mhamila.
Globu ya Jamii inamtakia Kamanda Gurumo nafuu ya haraka na inatoa wito kwa wapenzi wa muziki kujitokeza kumsaidia mzee wetu huyu ambaye ni mmoja wa wanamuziki wachache waliosalia wakiendeleza fani kwa weledi wa hali ya juu huku ukikuza vipaji vipya kwa wakati huo huo.
Mwanamuziki wa siku nyingi Mzee Makasy akimjulia hali mwanamuziki mwenzie Maalimu Muhindini Gurumo (KAMANDA) aliyelazwa hospital ya Taifa Muhimbili,Uncle Gurumo yupo wodi ya Mwaisera namba 1 kwa sasa baada ya kutoka katika chumba cha wagojwa wenye uangalizi maalumu (ICU). Kunradhi kwa picha haionekani vizuri.Picha na mdau Rajab Mhamila.
Globu ya Jamii inamtakia Kamanda Gurumo nafuu ya haraka na inatoa wito kwa wapenzi wa muziki kujitokeza kumsaidia mzee wetu huyu ambaye ni mmoja wa wanamuziki wachache waliosalia wakiendeleza fani kwa weledi wa hali ya juu huku ukikuza vipaji vipya kwa wakati huo huo.

No comments:

Post a Comment