b..

B1

Wynem

animation

Friday, November 5, 2010

KUNDI LA MUZIKI LA AFRIKA LIJULIKANALO ONE8 LIKIENDELEA NA MCHAKATO WAKE.

Amani na Ali kiba wakiwa wamepumzika baada ya kurekodi nyimbo na kundi zima la ONE8 jijini Chicago nchin Marekani.
Ali Kiba akitengenezwa ili apendeze zaidi kabla ya kupigwa picha za kundi lao la wanamuziki wa Africa lijulikanalo kama ONE8 huko Chicago nchini Marekani.
Ali Kiba na Fally Ipupabaada ya kumaliza kupigwa picha za kundi lao la ONE8.

No comments:

Post a Comment