b..

B1

Wynem

animation

Thursday, October 27, 2011

DK. MARY NAGU AZINDUA JENGO JIPYA LA UWEKEZAJI NYANDA ZA JUU KUSINI.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwezeshaji na Uwekezaji), Dk. Mary Naguakikata utepe kuzindua ofisi ya kituo cha uwekezaji (TCI) nyanda za juu kusini mjiniMbeya.


 
Jengo la TCI Mkoani Mbeya
Akizindua ofisi hiyo mwishoni mwa wiki jijini Mbeya, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwezeshaji na Uwekezaji), Dk. Mary Nagu alisema ofisi hiyo ni muhimu katika kusaidia wajasiriamali na wawekezaji wa mikoa ya Ruvuma, Iringa Rukwa na Mbeya kuitumia kwa ajili ya kuanzisha miradi mbalimbali ya uwekezaji.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TIC, Balozi Elly Mtango.
 Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Raymond  Mbilinyi alisema Ukanda wa Nyanda za Juu Kusini.
Naye Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro akimkaribisha waziri  Mary Nagu alisema mkoa wake unazo fursa nyingi zikiwemo za kilimo katika Bonde la Mbarali na maeneo mengine, ufugaji, uvuvi katika ziwa Nyasa, utalii katika Hifadhi ya Taifa ya Kitulo na uchimbaji wa makaa ya mawe katika eneo la Kiwira. 
Baadhi ya wananchi waliohudhuria sherehe za uzinduzi wa kituo cha uwekezaji jijini Mbeya kutoka Kushoto Mbele ni Mrs Kadyanji na anaefuatia ni Mrs. Yunge na wajasilia mali wengine.

No comments:

Post a Comment