b..

B1

Wynem

animation

Sunday, April 15, 2012

SUPER D ANZISHA PROGRAM YA KUTAFUTA MABONDIA KUMI BORA ITAKAYOANZA MAY 4

Kocha wa kambi ya
 Ngumi ya mkoa wa Ilala Kimichezo, Rajabu Mhamila,'Super D', ameanzisha programu maalum ya kuwafanyisha mazoezi mazitomabondia wake. 

Ameamua kuanzisha programu hiyo kwa ajili ya kuwajengea uwezo wa kuwana pumzi na nguvu kwa ajili ya kukabiliana na wapinzani.
Akizungumza leo, Kocha huyo alisema kuwa mabondia wake watashirikikatika mashindano ya 10 bora yaliyoandaliwa na Kinyogoli Foundationyatakayofanyika May 4.
Alisema kuwa mabondia hao watazichapa katika mpambano wa aina yakeutakaofanyika mwezi ujao katika Ukumbi wa Panandi Panandi Ilala.“Nimeanzisha programu ya aina yake kwa ajili ya kuwajengea uwezomabondia wangu ili waweze kuwa na pumzi za kutosha katika mashindanombalimbali” alisema.
nah! ila sio kiivyo! Super DAidha aliongeza kwa kusema wanaomba wadhamini kujitokeza kusaidi vitumbalimbali kwa ajili ya kufanikisha mchezo huo wa masumbwi kwakuwapatia vijana maja ata zawadi ndogo ndogo za kuwatia moyomashindano hayo yatakayowashirikisha vijana mbalimbali katika uzitotofauti yatakuwa na lengo la kuendeleza mchezo wa masumbwi NchiniMapambano yatakuwa mengi kwa kuwa vijana wengi wamejitokeza kujakujiandikisha kushiriki siku hiyo alisema Super D

No comments:

Post a Comment