b..

B1

Wynem

animation

Tuesday, April 10, 2012

SAFARI YA MWISHO YA STEVEN KANUMBA

MWILI WA MAREHEMU UKISHUSHWA KABURINI
Mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba Bi. Flora Mgoa akiuaga mwili wa mwanaye kwa mara ya mwisho kabla ya kuzikwa rasmi katika makaburi ya Kinondoni.
Mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba Bi. Flora Mgoa na ndugu wa karibu wakiaga mwili wa marehemu kwa mara ya mwisho makaburini Kinondoni.
 Wajenzi wa kaburi la marehemu wakichanganya Sementi kwa ajili ya kufukia.
 
Mama wa Marehemu Steven Kanumba akiweka shada la maua mkaburini
 Maskari wa kusimamia usalama wakiweka uzio kwa ajili ya kuhakikiosha usalama katika mazishi hayo.
 
Polisi wakiweka ulizi wa kutosha katika mazishi hayo.
 Kamanda wa Kanda Maalum ya kipolisi mkoa wa Dar es salaam Kamanda Suleiman Kova akizungumza na waombolezaji makaburini Kinondoni.
Mwanamitindo maarufu mtanzania anayefanya kazi zake za mitindo nchini Marekani Millen Magese akienda kuweka shada la Maua kwenye kaburi la marehemu Steven Kanumba.
PICHA ZAIDI INGIA HAPA  FULL SHANGWE BLOG

No comments:

Post a Comment