b..

B1

Wynem

animation

Monday, April 30, 2012

CHEKA ALIVYOMGALAGAZA MAUGO BILA HURUMA

 
Baadhi ya Maraisi wa vyama vya mchezo wa Masumbwi Nchini wakiangalia mchezo wa Mada Maugo na Francis Cheka ubingwa wa IBF AFRIKA kutoka kushoto ni Rais wa TPBO,Onesmo Ngowi wa TPBC pamoja na Emanuel Mlundwa wa PST
Baadhi ya Marefarii kutoka Nnje ya nchi wakisubili kuchezasha mpambano wa ubingwa wa IBF Arika kati ya Mada Maugo na Francis Cheka
Baadhi ya mashabiki waliokuwa wamekaa katika VIP wakiangalia mpambano
 
Ibrahimu Maokola kulia akipambana na Saidi Mbelwa Maokola alishinda kwa Point.Picha na www.superdboxingcoach
Mada maugo kushoto na Francis Cheka wakioneshana umwamba wa kutupiana masumbw
Cheka akipiga ngumi bila mafanikio uku mada akiludi nyuma kujiami
Francis Cheka akivalishwa mkanda wa ubingwa wa Afrika wa IBF baada ya kumchakaza Mada Maugo kwa TKO raundi ya 6

Meya wa Manspaa ya Ilala Jery Slaa akimkabidhi funguo ya gari bondia Francis Cheka baada ya kuibuka na ubingwa wa k.o raundi ya 6 

No comments:

Post a Comment