b..

B1

Wynem

animation

Sunday, January 29, 2012

CHEKA AMSHINDA NYILAWILA KWA POINT!


Francis Cheka akinyosha mikono juu baada ya kuibuka mshindi na refarii Nemes Kavishe huku Bondia Kalama Nyilawila akiwa haamini matokeo hayo.

Bondia Francis Cheka (kushoto) akioneshana umwamba wa kutupa masumbwi na Kalama Nyilawila wakati wa mpambano wao uliofanyika uwanja wa Jamhuri Morogoro mwishoni mwa wiki cheka alishinda kwa 
pointi.
  
 Askari wa usalama wakiendeleza ulinzi wakati wa mpambano huoo jana
Bondia Ibrahimu Class (kushoto) akipambana na Venasi Mponji wakati wa mpambano wa utangulizi walitoka droooo Picha zote na www.superdboxingcoach.blogspot.com.

No comments:

Post a Comment