Huu ndio msongamano wa magari uliopo baaya magari kuzuiwa kupita katika daraja hilo
Sehemu ya daraja yenye ufa
Upande wa daraja uliolika na kingo zake zikiwa zimeharika
Wakazi wakitembea kwa miguu kukatiza daraja kwenda upande wa pili ili wapate usafiri
Daraja likiwa limewekwa kizuizi
Sehemu ya Daraja likiwa inaonekana kingo iliyomeguka
Baadhi ya magari yaendayo Tegeta, Bunju na bagamyo yakiwa yameguza baada ya kushindwa kupita kwenye daraja hilo
Baadhi ya wakazi wakiwa wanapishana katika daraja hilo.
No comments:
Post a Comment