
Huu ndio msongamano wa magari uliopo baaya magari kuzuiwa kupita katika daraja hilo

Sehemu ya daraja yenye ufa

Upande wa daraja uliolika na kingo zake zikiwa zimeharika

Wakazi wakitembea kwa miguu kukatiza daraja kwenda upande wa pili ili wapate usafiri

Daraja likiwa limewekwa kizuizi

Sehemu ya Daraja likiwa inaonekana kingo iliyomeguka

Baadhi ya magari yaendayo Tegeta, Bunju na bagamyo yakiwa yameguza baada ya kushindwa kupita kwenye daraja hilo





Baadhi ya wakazi wakiwa wanapishana katika daraja hilo.
No comments:
Post a Comment