b..

B1

Wynem

animation

Wednesday, December 21, 2011

UKUTA WA UWANJA WA YANGA WAANGUSHWA NA MAFURIKO

Uwanja wa Kaunda unaomilikiwa na timu ya Yanga uliopo maeneo ya Jangwani ukiwa katika hali mbaya baada ya kukumbwa na mafuriko na sehemu ya ukuta wake kuanguka.
Baadhi ya maeneo ya Jangwani ambayo yamekumbwa na mafuriko.
Wakazi wa Jangwani wakiwa wanahamisha mali zao kukwepa adha ya

No comments:

Post a Comment