b..

B1

Wynem

animation

Friday, January 21, 2011

KAKA ZAO KURUDI UPYA KWENYE GEMU


Kaka zao ni family inayotengenezwa na watu watano kutoka kanda ya ziwa mwanza. ambao ni Hardmad  mkushi a.k.a KIDUME akiwa kama kiongozi na Phantom ranks ambaye kwa sasa yuko nchini uswisi, wengine ni Fatma kilometa, Jahson pamoja na Susu.Tunafanya mziki aina ya dancehall na raga rumba.
Kwasasa makazi yetu ni hapa Dar es salaam kwa ajiri ya shughuli zetu za muziki.
Jahson ameachia Track pamoja na video inayoitwaHEAT akiwa na Hardmad na kwa sasa huko anafanya nyimbo nyingine inayoitwa SHOW ME SOME LOVEakiwa na Susu pamoja na Fatma. Hivi karibuni itakuwa hewani.
Big up sana kwa mashabiki wanaotupa suport pia big up kwa wapenzi wa dancehall pamoja sanaaaaaaaaaaaana
 R whu jah bless no man cian tes

No comments:

Post a Comment