b..

B1

Wynem

animation

Tuesday, January 18, 2011

CBH AACHIA NGOMA TATU KWA MPIGO.

Baada ku kutamba na vngoma ya ke ya Best Friend kwenye Oudio na Video msanii CBH watu walidhani amebahatika lakini kwa sasa anaonesha uwezo wake baada ya kuachia ngoma tatu kali zote zikiwa kwenye stail ileile kama aliyotoka nayo mwanzo. ngoma alizotoka nazo CBH ni
am in love, Broda na oweeeoh.
CBH kwa sasa anasimamiwa na kampuni ya muziki ya SHOW BIZ DIFINE chini ya mtu mzima Eyryn D.

No comments:

Post a Comment