b..

B1

Wynem

animation

Sunday, January 16, 2011

BENJAMINI WA MAMBOJAMBO BADO YUKO CHIMBO.

Leo nimepokea meseji kutoka kwa kaka bjamini wa mammbojambo akisema kwamba wadau wasimuone kama kakaa kimya sana ila ni kwa sababu yuko chimbo anaandaa albamu.mesji ilkua hivi......
"mambo vipi kaka a.k.a Mtoto wa kitaa! naomba unisaaidie kuwaambia mafans wangu kuwa wasijali na wala wasiogope kwa mimi kukaa kimya, sasa hivi nipo chimbo naandaa ngoma kalikali ambazo zitawarusha kiuhakika,pia ndio naandaa albam yangu ambayo nategemea kuiachia kitaani mwezi mei, na cha mwisho napenda kuwaambia mashabiki na wapenzi wa muziki wangu kuwa bado nipo nao kwa kila kitu kwani Benjamini ni yuleyule wa siku zote ambae anawapa vitu vikali siku zote."
Mesiji iliishia hapo. Sule's Inc. & entertainment  inamtakia Benjamini Mafanikio mema katika harakati za kuupeleka huu muziki wetu mbele. 2PO PA1

No comments:

Post a Comment