b..

B1

Wynem

animation

Monday, January 3, 2011

KAA TAYARI KWA YOUNG VJ KUTOKA KIJENGE JUU.

YOUNG VJ Mwana hiphop anaechipukia kwa kasi kutoka ARA Chuga akiwa katika pozi tofauti tofauti

Meseji niliyoipokea kutoka kwa YOUNG VJ imeandikwa hivi 

".........Mambo vipi kaka Sule a.k.a mtoto wa kitaa naomba uwape habari wadau wangu na wapenzi wote wa burudani kuwa Mikakati yangu ya mwaka huu mpya ni kuleta vi2 vipya  so wapenzi  wangu na wapenzi wa hiphop  wakae  mkao wa kula Kwani  muda si mrefu ntaachia nyimbo mpya  ambayo naamini   itantambulisha vizur ktk ulimwengu  wa bongo fleva.

..........Pia  namshkuru  mungu sana coz napata sapoti kubwa kutoka kwa kaka  zangu wakaribu JCB wa WAtengwa  na DX wa NOIZMEKAH na kuhusu  ushindani wa  game la leo  haswa kwa  wanamuziki  wadogo kama mimi, Young Dee na Dogo Janja. mimi kama mimi nawaachia  mashabiki  kwan  wao ndio wataamua nani wa kumpa ubingwa kutokana na mpambano wa gem lenyewe"

YOUNG VJ alimalizia kwa kusema "kaka mimi nakutakia heri na baraka na mafanikio katika maisha kwani unafanya kazi nzuri katika kutupa habari nzuri na zenye uhakika. siku njema"

No comments:

Post a Comment