b..

B1

Wynem

animation

Monday, January 17, 2011

BASATA LEO PALIKUWA HAPATOSHI

Katibu mtendaji wa baraza sanaa la taifa (BASATA) Ghonche Materego 
Mh. Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu akiongea jambo kwenye jukwaa la sanaa
Hili ndio nyomi lililokuwepo pale kwenye jukwaa la sanaa kwenye ukumbi wa basata

Hawa ni baadhi ya wadau wakichangia mada iliyokwa ikizungumziwa.
Mrisho Mpoto akihojiwa na mwandishi wa habari mara baada ya kikao kuisha
Na hapa ni zamu ya Mkoloni kuhojiwa na mwandishi mara baada ya kikao kuisha

No comments:

Post a Comment