b..

B1

Wynem

animation

Saturday, January 29, 2011

HIVI NI VITUKO USWAHILINI!



Mitaa ya Tandale Uzuri mchana huu mdada wa watu (ailiekaa chini) alijikua alkichezea kipndo kitakatifu baada ya kunywa bia za watu na kugoma kusepa na mchizi, baada ya baada ya kutembeza kipondo mchizi akaomna kukaa hapo ni kwere akaamua kijikataa (kuondoka) kiaina na inasemekana demu alikunywa bia za mvhizi huyo alieingia mitini na kukataa kuondoka nae. na jamaa alijikataa baada ya kuona nyomi limeshajongea pande hizo

Wasamalia wakijaribu kumstiri kwa mavazi baada ya yale ya kwake kuchafuka vibaya na kuchanika pia baada ya kipondo.

Msaada ukiendelea.

kina mama waliokuwepo eneo la tukio wakijaribu kumuinua mwanadada huyo aliekuwa ametembezea kipondo kitakatifu mchana huu.

No comments:

Post a Comment