b..

B1

Wynem

animation

Sunday, May 27, 2012

WASHINDI WA KILI WALIVYOKINUKISHA MTWARA JANA

Msanii aliyefunika vibaya katika tamasha la Kili Music Award mjiji Mtwara, Roma Mkatoliki akitumbuiza jukwaani wakati wa show maalum ya Washindi wa Kili Music Award kwenye uwanja Umoja  wa mjini Mtwara  jana.
Msanii AT kutoka Zanzibar akitumbuiza jukwaani na wacheza sho wake wakati wa show maalum ya Washindi wa Kili Music Award kwenye uwanja Umoja  wa mjini Mtwara  jana.
Barnaba Boy ambaye ni mshindi wa Tuzo ya Mwimbaji Bora wa Kiume akimbo jukwaani hii leo wakati wa show maalum ya Washindi wa Kili Music Award kwenye uwanja Umoja  wa mjini Mtwara  jana.
Msanii anae kuja juu Omy Dimpoz nae akikamua jukwaani wakati wa show maalum ya Washindi wa Kili Music Award kwenye uwanja Umoja  wa mjini Mtwara  jana.
Queen Darling  nae alishambulia jukwaa vilivyo na kuleta raha kwa mashabiki wakati wa show maalum ya Washindi wa Kili Music Award kwenye uwanja Umoja  wa mjini Mtwara  jana.
Gwiji la Muziki wa Taarabu nchini, na Mshindi wa Tuzo ya Mtumbuizaji bora wa Kike, Hadija Kopa akifanya makamuzi  katika tamasha maalum la Washindi wa Kili Music Award kwenye uwanja Umoja  wa mjini Mtwara  jana.
Mkali wa Bongo fleva Ali Kiba akiimba jukwaani hii leo wakati wa show maalum ya Washindi wa Kili Music Award iliyofanyika kwenye uwanja Umoja  wa mjini Mtwara  jana.
Mashabiki wakifuatilia burudani kutoka katika Jukwaa ambalo washindi wa Tuzo za Kili Music Award 2012 walikuwa wakitumbuiza kwenye uwanja Umoja  wa mjini Mtwara  jana.
Picha zote na Mpigapicha wetu.

No comments:

Post a Comment