b..

B1

Wynem

animation

Monday, May 28, 2012

CHADEMA YAZINDUA TAWI WASHINGTON DC.

 
Uongozi wa juu wa Chama Cha Democrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika uzinduzi rasmi watawi la Chadema Washington Dc  kwenye meza ya juu wa kwanza kushoto Libe Mwangombe, akifatiwa na Mh. Msigwa,  Mwenyekiti wa tawi Mhe. Kalley Pandukizi,  Mhe. Zitto Kabwe, na Mhe. Nassari Joshua, mkutano huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Mirege Hall uliopo University Of Bld, Hysattsville, Maryland Nchini Marekani.
 
Mhe. Leticia Nyerere 
 
 Mhe. Maryam Msabaha 
Wantazania waishio DMV Nchini Marekani wakiwa katika uzinduzi wa tawi la chadema Washington  Dc.
Baadhi ya wakereketwa wachukua kadi baada ya uzinduzi wa tawi la chadema Washington
 Mhe. Nassari Joshua (Dogo Janja) Akishanga mamia ya wana DMV waliofurika katika uzinduzi rasmi watawi la Chadema Washington Dc
Mhe. Peter Msigwa akiandika masuali yaliokuwa yakiulizwa na baadhi ya wakireketwa 
  
Mwanachama wa chadema kutoka Boston Ma na kamanda Doto wakiuliza masuali tafauti  katika mpango mzima wa uzinduzi rasmi watawi la Chadema Washington Dc uliofanyika jana Mei 27, kwenye ukumbi wa Mirage Hall uliopo University  Bld, Hysattsville, Maryland Nchini Marekani.
Mhe. Zitto Kabwe akitoa hutba kuelezea mpango mzima wa mambo yanavyoendelea nchini Tanzania
Wana DMV wakisikiliza hutuba ya Mhe. Zitto Kabwe.
Picha zote na swahilivilla.blogspot.com

No comments:

Post a Comment