b..

B1

Wynem

animation

Sunday, May 27, 2012

MNYEKE AJIFUA KUCHAPANA NA FADHIL AWADH JUNI 9 MWAKA HUU

Bondia Iddy Mnyeke (kushoto) akiwa katika mazoezi na Vitor Njait, ikiwa ni sehemu ya mazoezi yake yanayoendelea katika kambi ya ngumi ya Ilala. Mnyeke anajiandaa na pambano lake na Fadhiri Awadhi linalotarajia kufanyika June 9, mwaka huu katika ukumbi wa Frensi kona Manzese Dar es salaam.
Picha na Super D

No comments:

Post a Comment