b..

B1

Wynem

animation

Thursday, July 5, 2012

WASHIRIKI KATIKA SHINDANO LA KUMSAKA MISSS UTALII KAGERA 2012 WATEMBELEA BANDARI YA BUKOBA.

Haya sasa Hawa ndio warembop kutoka Bukoba katika pouzi huku wakisikiliza jambo
Mkuu wa Bandari Ndg Ernest Nyambo akisalimiana na walimbwende hawa
Warembo wa Miss Tourism wakipata maelezo ya kina kutoka kwa mmoja wa amaofisa wa Bandari
Afisa wa Bandari Mdau Ajuaye Kheri Msese akiwapa somo walimbwende katika kuwapa uelewa zaidi wa mambo mbalimbali.
Muandaaji wa Onyesho hili Bi Dinna akimshkuru AFISA wa Bandari ndg Msese.





No comments:

Post a Comment