George Kavishe(wa kwanza kushoto), Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager akiongea na nahodha wa timu hiyo Juma Kaseja alipoitembelea timu hiyo kwenye kambi ya mazoezi kwa ajili ya Kombe la Kagame jijini Dar es salaam.
Kocha mkuu wa Yanga, Thomas Saintfiet (kushoto) akizungumza na Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, George Kavishe alipoitembelea timu hiyo kwenye kambi ya mazoezi jana. Picha na Executive Solutions.
No comments:
Post a Comment