b..

B1

Wynem

animation

Monday, February 28, 2011

MBIO ZA VODACOM FUN RUN ZANG’ARISHA KILI MARATHON

Baadhi ya washiriki wakitimua mbio za Vodacom 5KM Fun Run mara baada ya Mkuu wa Wilaya ya Moshi mjini Alhaj Musa Samizi kuanzisha mbio hizo.
Mkuu wa Wilaya ya Hai Dr Noman sigwa akimkabidhi zawadi mshindi wa kwanza wa Vodacom 5KM Fun Run Kalis Stiven kitita cha shilingi 100,000 mara baada ya kuibuka mshindi wa mbio hizo,kulia Mkuu wa udhamini wa Vodacom Tanzania George Rwehumbiza.

Mkuu wa Wilaya ya Hai Dr Noman Sigwa akimpatia zawadi Mtoto mlemavu Cornel Zagara aliyeshiriki mbio za Vodacom 5KM fun run zilizofanyika mjini Moshi Mkoani Kilimanjaro,katikati Meneja Udhamini wa Vodacom Rukia Mtingwa.

Mtoto mlemavu Cornel Zagara akishirikia katika mbio za Vodacom 5KM Fun Run zilizofanyika mjini Moshi Mkoani Kilimanja.

Baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakishangilia mara baada ya kumaliza mbio za Vodacom 5KM fun Run zilizofanyika mjini Moshi Mkoani Kilimanjaro.

No comments:

Post a Comment