b..

B1

Wynem

animation

Wednesday, February 16, 2011

HILI NDILO VARANGATI LA MABOMU YA GONGO LA MBOTO

Majeruhi wakifikishwa katika hospitali ya AMANA ilala usiku wa kuamkia leo mara baada ya milipuko ya mabomu Gongo la Mboto na kusikika kariobu kila kona ya jiji la Dar.
Daktari wa Amana akiwa anamhudumia mmoja wa majeruhi alifishwa hospitalini hapo.
Watoto wakiwa wanamuangalia mama yao aliejeruhiwa hospitalini hapo.
Majeruhi wa mlipuko wa mabomu wakiwa wamelala chini huku wakiwa wametundikiwa dripu katika hospitali ya amana
Deo Rweyunga wa redio one sterio akiongea na mtoto aliejeruhiwa na mlipuko wa mabomu.
Mmoja wa majeruhi akipata huduma.
Majeruhi mmoja mara baada ya kupata huduma ya kwanza katika hospitali ya amana.

No comments:

Post a Comment