b..

B1

Wynem

animation

Wednesday, February 16, 2011

MR. II aka SUGU KUUZINDUA MIX TAPE YA ANT VIRUS.


Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Mr II aka Sugu, siku ya tarehe 20 atakuwa pale Club Billicanskwaajili ya kuwashukuru wananchi pamoja na mashabiki wake ambao wako nae mpaka sasa. 

Sugu mbali na kuwashukuru ataizindua mixtape ya Anti Virus na atasindikizwa na wasanii wengine wakiwemoOrijino KomediSalu T na member wote wa 
Anti Virus.

No comments:

Post a Comment