b..

B1

Wynem

animation

Wednesday, February 9, 2011

MPIGIE KURA AARON KWENYE TUZO ZA MUZIKI WA INJILI


Aaron muimbaji wa muziki wa kizazi kipya pamoja na injili ameingia kwenye tuzo za injili kwa kupitia ngoma mbili  ambazo ni NISAMEHE na JUU MBINGUNI 
Kategory alizoingia ni pamoja:-
           1- SINGO BORA  na ngoma aliziongia nazo ni NISAMEHE na JUU MBINGUNI
 2 - MSANII ANAECHIPUKIA
Aaron anaomba umpigie kura kwa kuandika neno TUZO kisha unaacha nafasi kisha AARON unaacha nafasi kisha kisha jina la wimbo NISAMEHE  / JUU MBINGUNI kisha unatuma kwenda namba 15522
Kwa upande wa anaechipukia utaandika TUZO kisha unaacha nafasi, kisha AARON unaacha nafasi kisha ANAECHIPUKIA halafgu unatuma kwenda 15522
Ngoma zenyewe nin:-
1 - JUU MBINGUNI ft BENJAMIMNI WA MAMBO JAMBO, KAPIPI &DULLY SYKES 
                             - STUDIO MZUKA  REC. PRODUCED BY AARON & BENJA
 2 - NISAMEHE          - STUDIO FLUKE PRO. LONDON - PRODUCED BY AARON & LUKE

1 comment: