b..

B1

Wynem

animation

Sunday, June 24, 2012

NGOMA MPYA KUTOKA KWA NOCOZ ft BOU NAKO - KAZI.

Nocoz are back again this time wakimshirikisha BouNako toka N2N,hapa sasa NOcoz na NAkoz ndani ya pini moja ndani ya beat ya mtumzima Samtimber na vocals/mixing ikiwa ni pande za noizmekah.com chini ya defxtro.Support kwa hiphop chipukizi ndio mpango na pini linakwenda kwa jina la KAZI..ikiwa ni kazi kweli ya hardcore hiphop inayodokeza ugumu wa maisha na vikwazo vya kizembe vinavopelekea machizi kufilisika, kulosti maisha.Skiliza pini na support hiphop music from tanzania,One
BOFYA HAPA KWA KUUSIKILIZA NA KUUDOUNLOAD 4 PROMO ONLY.

No comments:

Post a Comment