b..

B1

Wynem

animation

Tuesday, June 26, 2012

NAPE KATIKA MAHAFALI YA WANA-CCM TAWI LA CHUO KIKUU CHA TEKU, MBEYA

 
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisalimiana na viongozi wa  CCM mkoa wa Mbeya baada ya kuwasili leo asubuhi kwa ajili ya ziara ya siku mbili mkoani humo.

Nape akiongozwa na vijana wa Chipukizi wa CCM, baada ya kuwasili mjini Mbeya kuanza ziara hiyo.
Nape akiwasalimia baadhi ya viongozi na wanachama wa CCM tawi la Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji (TEKU) Mbeya alipokwenda hoteli ya Paradise kuwa mgeni rasmi kwenye mahafali ya wana-CCM hao
Nape akishiriki kucheza muziki wa kwaito na wana-CCM tawi hilo la TEKU

Wana-CCM wakila kiapo pamoja na wanachama wapya kwenye mahafali hayo

Nape akizungumza na wahitimu na wanachama hao. 
Hivi ndivyo walifanya kabla ya kumkabidhi picha hiyo.
 
Nape akaiangalia picha hiyo kwa makini 
Nape akiibusu picha yake baada ya kuzawadiwa na wana-CCM tawi la TEKU

Nape akimkabidhi kadi ya CCM, mmoja wa wanachama wapya waliopewa kadi wakati wa mahafali hayo

No comments:

Post a Comment