Kama kiongozi anaweza kutumia fedha nyingi kuliko zile atakazoenda kulipwa kama posho kule mjengonui (Bungeni) wewe unadhani ataweza kukuletea maendeleo kweli!? hapa ni lazima ataanza kurudisha kwanza zile alizozitumia ndio kama itawezekana awakumbuke baadae na hapo muda utakuwa umekwisha. Kupata katuni kama hizi tembelea ww.sidymic.blogspot.com
TUMIA VIZURI KURA YAKO
No comments:
Post a Comment