b..

B1

Wynem

animation

Monday, September 13, 2010

Grand Malt yakusanya maelfu Coco beach

Mfalme wa Rymes afande Sele akiwa jukwaani huku akipagawisha mashabiki waliofurika katika fukwe ya coco beach jijini dar, jana j'pili katika bonanza la Grand Malt.
  
Washereheshaji wa shughuli a.k.a Wasema chochote au MC's wa bonanza la Grand Malt wakienda sambamba na mmoja wa vijana waliopanda jukwaani kuonyesha vipavi vyao.
  
Hahahahahahah! Pia mambo ya taarabu yalionyeshwa na vijana wa kike katika bonanza la Grand Malt lililofanyika jana katika fukwe ya coco beach jijini dar.
 
 Hapa Temba, pale Chege kiujumla ni TMK Family wakifanya vitu vyao katika bonanza la Grand Malt lililofanyika jana katika fukwe ya cocobeach jijini dar.
  
Na hili ndio nyomi lililokuwepo pande zile kuliokokuwa kukifanyika bonanza la Grand Malt jana pale katika fukwe ya coco beach

No comments:

Post a Comment