b..

B1

Wynem

animation

Friday, September 24, 2010

KITUO CHA KAZI KIPO HEWANI.

Huyu ndio mkubwa wa kituo cha kazi Henri Mdimu
Hii ndi logo (nembo) ya kipindi chenyewe.

Kama kawa kama dawa kipindi chenu cha burudani cha KITUO CHA KAZI sasa kipo hewani huku kikiongozwa na kuratibiwa na kaka mkubwa Henri Mdimu a.k.a Zee la Nyeti huku akipewa sapoti na mtu mzima Mwana FA a.k.a Binamu na Fid Q wakati mitamboni akisimama Maliki a.k.a Mkoloni
Kipindi hiki kitakuletea mambo mengi tu ya burudani ikiwa ni pamoja na habari za hapa na pale huku wakichambua pia habari za michezo. Pia kita kukutanisha na wadau mbalimbali wa burudani hapa nchini. kipindi ni kila siku ya Jumatatu mpaka Ijumaa Radio Times, ..100.5 FM kuanzia saa tatu asubuhi mpaka sita mchana!

No comments:

Post a Comment