b..

B1

Wynem

animation

Friday, September 17, 2010

SLAA ATINGA VIWANJA VYA NYUMBANI KWA KISHINDO.

Dk. Willibrod Slaa, akihutubia mkutano wa hadhara wa kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Bwawani mjini Karatu leo.
Dk. Willibrod Slaa, akimnadi mgombea wa ubunge katika jimbo la Karatu kupitia chama hicho, ambaye ni mridhi wake, Mchungaji Israel Natse, wakati wa mkutano wa hadhara wa kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Bwawani mjini Karatu jana.
Dk. Willibrod Slaa, akizungumza na Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Shinyanga, Daudi Siasi, mara baada ya kuhutubia mkutano wa kampeni zake kwenye Uwanja wa Sabasaba mjini Bariadi juzi.
  
Baadhi ya wanachma na wapenzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wakishangilia hotuba ya mgombea urais wa Tanzania kupitia chama hicho, Dk. Willibrod Slaa, wakati akihutubia mkutano wa kampeni zake, kwenye Uwanja wa Bwawani mjini Karatu leo.

No comments:

Post a Comment