Hii ni picha inayoonyesha eneo la alqa-aba ambapo ni sehemu takatifu waislamu wanayoielekea wakati wa kuswali
Huyu ndio mtoto wa kitaa akiwa katika vazi la kanzu bana.
Mtoto wa kitaa kama kawa anawatakia watazamaji / watembeleaji wote wa blog hii Kheri ya sikukuu ya eid el-fitri.
No comments:
Post a Comment