b..

B1

Wynem

animation

Monday, December 6, 2010

CHEGE APIGWA CHANGA LA MACHO MBOMBASA.


Chege chigunda aingizwa mijini na promota feki mjini mombasa kwa kile kilichodaiwa kuwa kumkataa kimapenzi promota Eve Adhiambo mbapo taarifa zilizotufikia ni kuwa chege ameporwa fedha taslimu 550000 za kitanzania na iphone ya 1100000.
Chege ametoa muonekano wa dada huyo ili yeyote atakaemuona amkamate au atoe taarifa polisi kwa msaada zaidi naa huu ndio ujumbe kutoka kwa Chege "toa taarifa kwa TMK umuonapo TZ kama ukisahau alama yake ana bonge la mwanya. Ni mkenya ndio anaishi mombasa ukiwa msanii wa kiume anakutaka kimapenz ukichomoa anakuletea askari wake mpk hotelini coz ugenini unakua una ujanja man nimuuaji kbs yule amenifanya nipachukie mombasa kama ukoma,na sitaki kuskia wala sihta promota yoyote toka huko anipigie najua wote ni wezi tu,kwa kifupi sitopiga show tena mombasa mpaka nimtie mikononi eve."

No comments:

Post a Comment